Home Traders

Home Traders

Tembelea TK FM Redio 88.5 Tanga

Tuesday, 26 August 2014

Man City Yaishushia Kichapo Majogoo wa jiji-Liverpool

Katika mchezo uliokuwa ikitazamwa na washabiki wengi na uliokuwa ukivuta hisia kubwa kwa washabiki wasoka duniani hususani kwa hapa kwetu Tanzania ambao ndio wafatiliaji wakubwa wa ligi kuu nchini humo ulishuhudiwa kwa kichapo cha kufedhehesha ambacho majogoo wa jiji liverpool walikipata toka kwa wenzao wa jiji la Manchester, man City cha mabao matatu kwa moja.

Stevan Jovetic alifunga mabao mawili moja kila kipindi la kwanza likia katika dakika ya 41 na pili likiwa katika  dakika ya 55 kabla ya Edin Dzeko kuingia na kufunga bao la tatu katika mpira wa kwanza aliogusa dakika ya 68.Liverpool  nao waliweza kujipatia bao lao  kufutia machozi dakika ya 83 kupitia kwa Mshambuliaji wao mpya Lambert.
 

No comments:

Post a Comment