Fanali hizo za kanda zitafanyika katika
ukumbi wa TRIPLE A jijini Arusha na kutumbuizwa na msanii wa bendi ya fm
academia NYOSHI AL SADAAT HUKU KIINGILIO KIKIWA NI SHILLINGI 10,000/= NA vip 30,000/=
Warembo toka Tanga
wanaoiwakilisha Tanga ni mshindi Elgiva Mwasha,Asha Ally alieshika nafasi ya
pili na Rukaiya Hassan aliyeshika nafasi ya tatu.
Hata hivyo blog hii
imemtafuta Bi Mboni Muya ambaye alikuwa
ndio mratibu wa miss Tanga akiwa safarini kuelekea Arusha kushuhudia fainali
hizo amesema kuwa warembo hao kwa sasa wapo
kambini na wana Tanga wawaombee kwa
ajili kuiletea heshima mkoa wa Tanga huku akisisitiza kuwa warembo hao
watafanya vyema na kuipepereusha Tanga.

Naye mwandaaji wa onyesho hilo Faustine Mwandago alisema kuwa katika show hii atahakikisha washabiki wote wanaifurahia show hiyo.
Habari Hii imeandikwa kwa msaada wa KASSIM DISCOVER,MBONI MUYA pamoja na Michuzi Blog.
No comments:
Post a Comment