Akizungumza
na tk fm redio
leo mwenyekiti wa African sports Hatibu Heinz amesema kuwa wakali hao wa zamani bado wanaendelea na usajili na sasa wamebakisha
wachezaji kumi na watasajili wachezaji takribani kumi na tatu ili kukiboresha
kikosi hicho.
Aidha
Henzi amesema kuwa mara baada ya kutangaza
wachezaji kikosi kinatarajiwa kuweka kambi daressalaam huku ikitarajiwa
pia kutangaza ni mdhamini gani watakuwa nae.
No comments:
Post a Comment