Home Traders

Home Traders

Tembelea TK FM Redio 88.5 Tanga

Wednesday, 3 August 2016

TORA BORA WAFUNGUKA NA KUWAITA WAFADHILI MEZANI

Timu ya torabora   fc  iliyokuwa ikishiriki ligi ya wilaya na  kufanya vizuri sana wamefunguka na kusema kuwa wameleta changamoto kubwa sana  katika  soka na kuvutia  wengi.
Akizungumza na tk fm redio msemaji wa timu hiyo Said Wambuje amesema kuwa timu yao pia itaongeza vijana wenye uzoefu ili kuweza kupata mafanikio  huku akiisifia timu ya sahare kuwa ni timu zilizokuwa na ushindani na kuleta  changamoto kubwa sana katika soka la Tanga kwani ni mara yao ya kwanza kwa timu hizo kuweka kushiriki.

Hata hivyo wambuje amesema kuwa timu yao wanakaribisha wadhamini kwa jili ya kuidhamini timu hiyo na kuzidi kufikia malengo licha ya kuwa malengo bado hawajafikia mpaka dhamira yao ya kucheza ligi kuu ifanikiwe.

No comments:

Post a Comment