Home Traders

Home Traders

Tembelea TK FM Redio 88.5 Tanga

Saturday, 13 September 2014

Ratiba ya kuuaga Mwili wa Injinia Mokiwa

               RATIBA YA TAREHE 13 SEPTEMBA 2014
1. Saa 10:00 - 11:00 Jioni Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma Mwili wa marehemu kuchukuliwa kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma. Kamati

2. Saa 12:00 Jioni- 12:00 Alfajiri Nyumbani kwa marehemu Kilimani. Mkesha nyumbani kwa marehemu Kilimani. Wote
           RATIBA YA TAREHE 14 SEPTEMBA 2014
1. Saa 01:00 Asubuhi- 03:00 Asubuhi Nyumbani kwa marehemu Kilimani. Chai. Wote
2. Saa 03:30 Asubuhi- 03:30 Asubuhi Kanisa Kuu la Anglikana Mwili wa marehemu kupelekwa Kanisani (Kanisa Kuu la Anglikana) kwa ibada na kuaga. Kamati
3. Saa 04:00 Asubuhi- 07:00 Mchana Kanisa Kuu la Anglikana Ibada na kuaga. Wote
4. Saa 07:00 Mchana Safarini Mwili wa marehemu kupelekwa wilayani Korogwe (Kijiji cha Mgombezi) kwa ajili ya mazishi. Kamati
5. Kijijini Mgombezi, Korogwe – Tanga Ibada na kuaga mwili kijijini Mgombezi, Korogwe – Tanga kwa ratiba itakayoandaliwa Korogwe. Wote
                   RATIBA HII NI KWA MUJIBU WA ALLY MOHAMED-DODOMA

No comments:

Post a Comment