Home Traders

Home Traders

Tembelea TK FM Redio 88.5 Tanga

Monday, 13 July 2015

KAMBI YA JESHI URUSI IMEPOROMOKA.Na Ramadhani Makero

Ghorofa ya kambi hiyo ya jeshi nchini Urusi limeporomoka na kusababisha vifo vya wanajeshi 23

Wanajeshi wengine 19 majeruhi,vyombo vya habari vya Urusi vinaeleza kuwa wanajeshi walikuwa wamelala wakati ajali hiyo inatokea

Zaidi ya ghorofa nne zimeporomoka,kutokea kwa ajali hiyo inadhaniwa kuwa ni ukarabati duni uliofanyika mwaka jana ndio uliosababisha ajali hiyo ya kuporomoka kwa ghorofa nne.
Kwa maoni na ushauri.0659-310702

No comments:

Post a Comment