Tanga Kunani
Email:tangakunani4@gmail.com
Home Traders
Tembelea TK FM Redio 88.5 Tanga
Home
Our Contacts
Tembelea TK FM REDO 88.5 Tanga
Tuesday, 14 July 2015
WAVAMIA NA KUUA MAAFISA WA POLISI 4.Na Ramadhani Makero
Mkuu wa polisi Ernest Mangu athibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Maafisa wanne wa jeshi la polisi wauliwa katika shambulio hilo lilotekelezwa na watu wasiojulikana,
Na maafisa wengine wa polisi wanne na raia wajeruhiwa katika n tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo jijini Dar-es-salaam Tanzania.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment