Home Traders

Home Traders

Tembelea TK FM Redio 88.5 Tanga

Saturday, 30 August 2014

Ebola yasababisha mtaa kufungwa Liberia

Serikali ya Liberia imesema kuwa itafungua mtaa mmoja wa mabanda uliokuwa umetengwa ili kukabiliana na  ugonjwa wa Ebola.Mtaa huo uliopo katika mji mkuu wa Monrovia ulitengwa zaidi ya wiki moja iliopita na kusababisha ghasia.
Kwa mujibu wa Waziri wa habari wa nchi hiyo amesema kuwa serikali imeamua kuufunga mtaa huo  wa West Point ili  kukabiliana na ugonjwa huo vilivyo.

No comments:

Post a Comment