Home Traders

Home Traders

Tembelea TK FM Redio 88.5 Tanga

Wednesday, 27 August 2014

Etoo Aingia Kandarasi ya miaka miwili na Everton

Baaada ya majogoo wa jiji Liverpool kumsajili Mario Balotel kama vile walimpotezea Mcameroon Samuel Eto'o,na sasa mchezaji huyo ameingia mkataba wa miaka miwili kwa kuichezea timu ya Everton  ya nchini Uingereza  akitokea Chelsea kama mchezaji huru.
Samuel Etoo akiwa na jezi za Everton
Mchezaji huyo sasa anaungana na   Romelu Lukaku waliokuwa wakikipiga pamoja na Chelsea,Etoo mwenye umri wa miaka 33 sasa atakua chini ya bosi wa Everton Roberto Martinez.

No comments:

Post a Comment