Mshambuliaji
wa zamani wa wekundu wa msimbazi Simba na anaecheza soka la kulipwa nchini
Vietnam kwa sasa akikipiga katika timu ya Polisi ya Morogoro Danny Mrwanda
amemtaka Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, kuacha utani
juu ya timu ya taifa kwa kuangalia kikosi cha timu ya Maboresho.

Mrwanda,alisema kuwa kwa hilo Malinzi amefanya ‘utani’ kwani hakuna
nchi yoyote duniani inayowatumia wachezaji ambao hawana klabu kwenye timu zao
za Taifa.
“Mimi siungani na Malinzi katika hilo, kwani
nilifikiri labda wale wachezaji wa maboresho wangewekwa kwenye Academy,
wangefundishwa hapo na kutafutiwa klabu mbalimbali za ligi ili kuwapa uzoefu na
ndipo wajumuishwe katika timu ya Taifa, lakini naona wao wanataka wacheze moja
kwa moja Stars hilo jambo limenishangaza na wala sijawahi kuona kokote.
“Hakuna Timu ya Taifa yoyote duniani inayotumia
mchezaji ambaye hana klabu, ndio kwanza tungeanza sisi, hilo jambo haliwezekani
na nalipinga, nafikiri waliokuwa wamefikiria wamekosea na wanatakiwa kujipanga
upya,” alisemaMrwandwa.
Wakati huo huo, Chama cha soka nchini Tanzania TFF hatimae kimerejesha tena mashindano ya FA CUP, ambayo kwa sasa yanajulikana kama federation Cup.
Mashindano hayo yanatarajiwa kuanza Mwezi Novemba Mwaka hu huku yakitarajiwa kushirikishaWakati huo huo, Chama cha soka nchini Tanzania TFF hatimae kimerejesha tena mashindano ya FA CUP, ambayo kwa sasa yanajulikana kama federation Cup.
timu zote zilizosajiliwa Nchini na ambazo zitaomba kushiriki na Droo yake haitabagua Timu za Madaraja tofauti katika upangaji Mechi zake za Mtoano.
Mechi za FA CUP zitachezwa katikati ya Wiki na Ratiba ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kwa Msimu mpya wa 2014/15 imetambua hili kwa kupanga Mechi zake za Ligi Wikiendi tu.
Kwa mujibu wa habari toka TFF, Mashindano haya yatapewa msaada na FIFA na pia inatarajiwa Wadhamini mbalimbali wa ndani ya Nchi watashiriki kuyafadhili.
Habari Mbali Mbali zaKimichezo za Kimataifa
Kusajiliwa kwa Mario Balotel Liverpool ni Majanga-Jamie Redknapp...
Huku timu ya liverpool ikifanikiwa kumsajili mchezaji wa zamani wa man city Mario Balotel Nahodha wa zamani wa Liverpool Jamie Redknapp amedai kuwa kusajiliwa kwa mchezaji huyo kutaivuruga timu hiyo.
Huku timu ya liverpool ikifanikiwa kumsajili mchezaji wa zamani wa man city Mario Balotel Nahodha wa zamani wa Liverpool Jamie Redknapp amedai kuwa kusajiliwa kwa mchezaji huyo kutaivuruga timu hiyo.
Asmir Hauzwi-Hughes
Golikipa huyo amesema kuwa ifikapo mwaka huo itakuwa amemaliza mkataba na
timu yake ya Everton hivyo ndio itakuwa mwisho wa soka kwake
No comments:
Post a Comment