Home Traders

Home Traders

Tembelea TK FM Redio 88.5 Tanga

Wednesday, 17 September 2014

Vodacom yazindua huduma mpya ya lipa kwa M-pesa

Kampuni ya simu za mikononi ya Vodacom Tanzania imezindua huduma mpya ya  M-PESA inayojulikana kama"LIPA KWA M-PESA  huduma hii mpya ni sambambsa kabisa na mfumo wa malipo utakao wezesha makampuni,mawakala wa jumla na rejareja na wafanyabiashara wengine kulipia bidhaa zao kwa kutumia M-PESA.
Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Kelvin Twissa (katikati) akiongea na waandishi wa 
Huduma hii mpya imekuja ili kuboresha mazingira ya wafanyabiashara na makampuni kwa kupanua mbinu za malipo kutoka kwa wafanyabiashara na makampuni na wauzaji wa aina mbalimbali, sasa mawakala wa jumla na rejareja wataweza kununua na kulipia bidhaaa zao kwa kutumia huduma hii ya LIPA KWA M-PESA. Njia hii mpya ni ya haraka, salama na inampa  mteja wepesi zaidi wa kufanya biashara. 

No comments:

Post a Comment