Picture Speaks a Thousands Wards:
Picha hutoa tafsiri Elfu moja:
Mheshimiwa HALIMA OMARI DENDEGU
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara!! Mpaka Jana alikuwa
Mkuu wa Wilaya yetu ya Tanga!! Tafadhali Zoom hii
Picha Halafu Angalia Sura za Waliomzunguka ni Yupi
aso na Tabasamu Usoni Kwake/Mwake Look at the Kids
Wananikumbusha Ule Usemi wa Bw. Yesu (Nabii Issa AS)
"Waacheni Watoto Wadogo Waje Kwangu Maana Ufalme wa
Mbinguni ni Wao" Wamemwita Jembe, mimi nimemwita "TRECTA"
Mh. Ummy Mwalimu Amesema La She is a CATERPILLAR nadhani
ni D8R. Mdau Tiririka kulingana na Picha hiyo nahitaji kukusanya 2/3
kwa makala Maalum. Asanteni. Tk.
Picha hutoa tafsiri Elfu moja:
Mheshimiwa HALIMA OMARI DENDEGU
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara!! Mpaka Jana alikuwa
Mkuu wa Wilaya yetu ya Tanga!! Tafadhali Zoom hii
Picha Halafu Angalia Sura za Waliomzunguka ni Yupi
aso na Tabasamu Usoni Kwake/Mwake Look at the Kids
Wananikumbusha Ule Usemi wa Bw. Yesu (Nabii Issa AS)
"Waacheni Watoto Wadogo Waje Kwangu Maana Ufalme wa
Mbinguni ni Wao" Wamemwita Jembe, mimi nimemwita "TRECTA"
Mh. Ummy Mwalimu Amesema La She is a CATERPILLAR nadhani
ni D8R. Mdau Tiririka kulingana na Picha hiyo nahitaji kukusanya 2/3
kwa makala Maalum. Asanteni. Tk.
Yafuatayo yalikuwa ni baadhi ya maoni toka kwa wana Tanga Kunani-TK fACEBOOK.
- Christian Sambagi yah ukiona mama hupendi watoto ni sheeda
- Omar Abubakar sisi tulimpenda kama alivyotupenda ila mhe kikwete kampenda zaidi
- Doss Collombo Huyu si Ngosha huyuu au macho yangu
- Omar Abubakar lazima umjue tu aahahahahahahha @doss cllombo
- Alybaba Becker NAMPENDA,NAMUAMINI,NAMTHAMINI huyu ni mwanamke alie sahihi kuteuliwa na RAIS, TK mpe pongezi zangu nyingi mno RC HALIMA DENDEGU. tunakutakia kazi njema na zenye mafanikio huko MTWARA.
- Doss Collombo Kwanini @Omar
- Omar Abubakar mbona umemtambua haraka jirani yako nn
- Marlon Juniour kiongozi kachemka kuwaondowa chiku na halima
- Doss Collombo Hapana sio jirani yangu namuona ona tu mitaani @Omar
- Omar Abubakar aahahahahahahahahah
- Makihiyo William Best of luck dada Halima!
- Khalid Kigo Bora ameondolewa yani na huyu aliyebaki pia aondolewe aletwe mwanaume haifai kuongozwa na mwanamke
- Mohammed Al Musawa kwa wenye jicho la pili kuondolewa chiku ni furaha kubwa mkoa mzm.uteuzi wa dendegu asijua maana haambiwi maaana,pia atafurahi kukaa kikao kimoja na chiku aliemplekesha ss wktn wote ni wakuu
- Leopold Abeid Hongera sana mama
- Patricia Mzandi Kiongozi katuondolea mtu,Sijui kama mahakama ya Aridhi kamaitaendelea pale wilaya M/mungu akakusimamie huko Mtwara
- Sammy Juma Mh haya Hamna jinsi
- Athumani Lali Kweli kila mtu ana ubaya na uzuri wake.Tuwasamehe waliyotukosea.Mimi naamini wote walikuwa na nafasi ya kutaka kuendeleza
- Zainab Deo mmhh ambiwa
- Mngwali Ussi Mh Dendego ni kiongozi aliekuwa anajali maslahi ya wengi
- Hassan Kalombo Mhe. Dendegu Anastahili tumuombe Mungu amuongoze zaidi na afanye mengi kwani Mtwara bado ni Tanzania kila la kheir
- Mariam Lulu Nampenda sana Mungu amuongoze iwe ni Mtwara au Singida yote kheri as long yupo kwenye system
- Sammy Juma Natamani niwe mrithi wake Mh raisi nipe fupa niendeleze alipoacha yyKassim Discover Mungu amuongoze sasa Bi HALIMA namkumba sana pale alipovalia njuga suala zima la ardhi...........
No comments:
Post a Comment