![]() |
Meck Mexime |
Akizungumza na TK Kifaru amekanusha uvumi uliozagaa hapa nchini kua mshambuliaji huyo anaweza kuondoka katika timu hiyo ya wakata miwa wa mtibwa sugar.
Kifaru aliendelea kusema kua nguli huyo hawezi kufanya hivyo kutokana na kuhofia kama waliyowakuta baadhi ya wachezaji wa timu hiyo ambao walikua tishio na kuihama timu hiyo na matokeo yake wamekaa benchi na kupoteza viwango vyao.
Akimalizia kuitanabaisha TK Kifaru alisema kuwa labda mchezaji huyo auzwe nje ya nchi lakini si hapa tanzania kwa timu za Simba wala yanga.
No comments:
Post a Comment