Home Traders

Home Traders

Tembelea TK FM Redio 88.5 Tanga

Thursday, 16 July 2015

CRISS BROWN NYUMBA YAKE YAVAMIWA.NA Ramadhani Makero


Nyumba ya mwanamuziki wa R&B nchini Marekani yavamiwa na watu watatu walificha sura zao na kumfungia ndani shangazi wa msanii huyo na kuanza kupekuwa walisema maafisa wa polisi.



Lakini msanii huyo hakuwepo ndani ya nyumba hiyo Maafisa wanasema washukiwa hao kuwa walikuwa na bunduki na walifanikiwa kutoka na kiasi cha pesa kisichi julikana na vitu binafsi

Wawakilishi wa Brown bado hawajatoa tamko lolote kuhusiana na tukio hilo

Kulingana na ripoti,msanii huyo alikuwa ameenda kujivinjari katika klabu moja ya starehe
Hii ni mara ya pili nyumba ya msanii huyo kuvamiwa siku moja kuna mwanamke mmoja aliingia ndani kwa Criss brown na kuanza kupika vyakula na kisha akaandika ukutani kuwa anampenda sana msanii huyo

No comments:

Post a Comment