Home Traders

Home Traders

Tembelea TK FM Redio 88.5 Tanga

Friday, 10 July 2015

Na Ramadhani Makero

Nauliza tuuuu..... wenyeji wa mkoa huu kuwa eti ile hadha au mateso ya baadhi ya sehemu katika jiji hili la Tanga kuvamiwa na maji limetatuliwaaa??
Mimi mgeni jamani kuuliza sio ujinga wangwana.  
Kama unakero yoyote tutumie ilituitoe hapa tutumie sms usipige kupitia hii no:0659-310702.

No comments:

Post a Comment