Home Traders

Home Traders

Tembelea TK FM Redio 88.5 Tanga

Saturday, 11 July 2015

Na RAMADHANI MAKERO

Hatimaye kamati kuu ya chama cha mapinduzi imeshapata tano bora wa ugombea urais ambao ni


  1. JANUARY MAKAMBA
  2. BERNAD MEMBE
  3. AMINA SALIM ALLY
  4. DR.ASHA ROSE MIGIRO
  5. JOHN POMBE MAGUFURI
Bado ratiba inaendelea ni zamu ya wajumbe wa NEC wamekaa leo muda huu wa saa nne kwa ajili ya ya kuchuja majina mengine matatu.Kuwa pamoja nasi tutakufahamisha kila kinachoendelea mjini Dodoma.Ahsante

No comments:

Post a Comment