Timu
ya Azam fc kesho
inatarajiwa kuondoka kisiwan Zanzibar ilipokuwa imeweka kambi kwa siku kadhaa kurejea
jijini Daressalam mara baada ya kumalizia mchezo wao wa kirafiki
watakaoucheza leo na timu ya taifa ya Jangombe
usiku wa Saa mbili na nusu.
![]() |
Jafary Idd |
Akizungumza
na TK FM REDO mkurugenzi wa habari na mawasiliano watimu hiyo Jafary Idd Maganga amesema kuwa
mara baada ya mchezo wa leo kesho saa tatu asubuhi timu inatarajiwa
kuondoka kisiwani kurejea jijini
Daressalam.
Aidha
Maganga amesema kuwa wachezaji wawili Golikipa Mwadini Ally Na Ame Ally Zungu
wamekwenda Simba Sports Club kwa mkopo na golikipa Aishi Manula kama watu
wanavyodai.
Maganga
amefafanua kuwa Simba wameleta barua za kuwaomba wachezaji hao wawili na ndipo wachezaji hao kukaa na uongozi ndipo
walipokubali kwenda Simba kwa makopo.
No comments:
Post a Comment