Mshindi
wa taji la Miss Tanga 2016 Eligiva Mwasha amewashukuru wana Tanga kwa ujumla kwa sapoti yao waliomuonyesha
jana katika fainali za miss tanga 2016
hivyo kuwataka wanatanga kumuombea kwani kwa sasa safari aliokua nayo bado kubwa sana kwani
anamtihani wakwenda kuiwakilisha Tanga katika fainali za Miss Kanda na badae kulekea Katika fainali za miss
Tanzania baadae mwaka huu.
![]() |
Mshindi wa taji la TK FM MISS TANGA 2016 Elgiva Mwasha akiwa katika pozi la kawaida |
Hata
Hivyo Eligiva ameishukuru sana familiya
ndugu jama na marafiki waloonyesha ushirikiano wao na kuahidi kufanya vizuri katika mashindano ya kanda na Tanzania kiujumla.
Eligiva
ni mshindi wa taji la miss Tanga alilolitwaa jana tarehe 29/7/2016 katika hoteli ya Tanga Beach
Resort & Spa baada ya kuwashinda wenzake tisa.
Mshindi
wa pili katika fainali hizo alikuwa ni Asha Ally na mshindi wa tatu alikuwa
ni Rukaiya Hassan.
Fainli
za Miss Tanga mwaka huu zinajulikana kama TK FM MISS TANGA 2016 zimeandaliwa na
kituo maarufu cha redo jijini Tanga 88.5 TK FM REDIO wakishirikiana na Tanga Beach Resort.
No comments:
Post a Comment