![]() |
Washiriki wa TK FM MISS TANGA 2016 wakia katika pozi tofauti kama wanavyoonekana katika picha ya pmoja |
Washiriki
saba waliokuwa wakishindana katika
fainali hizo ambao ni Felister
George,Fatuma Makota,Glory Maimu,Aisha Ally, Rose Simon,Beatrice Mwangili
pamoja na Edna Kisabo huku washiriki
wakiweza kuonyesha talent zao za kisasa kama urembo na mitindo,kucheza
pamoja na ubunifu mbali mbali.
Chini
ya majaji watatu waliokuwa makini usiku wa jana wakiongozwa na jaji mkuu Tabu Raina akisaidinana na John
Kingodi pamoja na Frank Kibaja waliweza kupata tano bora ambayo itatoa mshindi wa miss Talent 2016
atakaevishwa taji usiku wa fainali za Miss Tanga.
Washiriki
waliopenya tano bora usiku wa jana ni Fatuma Makota, Glory Maimu, Aisha Ally,Rose
Simon na Edna Kisabo.
![]() |
Moja ya Mshiriki wa Miss Talent ambae amepenya tano bor akionyesha kipj chake hapo jan. |
Fainali
za TK FM MISS TANGA 2016 zitashereheshwa na wasanii mbali mbali wa Tanga kama
Wazenji Classic Band pamoja na vikundi
vya DANCERS vya TANGA bila kusahau kundi
bora mwaka huu la NAVY KENZO wakiburudisha ipasavyo huku washiriki kumi na moja wakishiriki fainali hizo.
Kiingilio
katika siku hiyo ni shilling 10,000/= VIP 30,000/= Single na Couple 50,000/=
No comments:
Post a Comment