Home Traders

Home Traders

Tembelea TK FM Redio 88.5 Tanga

Thursday, 28 July 2016

Maandalazi mchezo wa Kirafiki Mbeya City v/s Mtibwa yanaendelea

Mandalizi ya mchezo wa kirafiki kati ya timu ya mbeya city ya mbeya na timu ya mtibwa sugar yanaendelea  huku kila timu ikijitapa kushinda katika mchezo wake huku timu ho zikijaribu  wachezaji wake waliowasajili kwa ajili ya msimu mpya unaotarajiwa kuanza mwezi ujao.

Wakizungumza na TK FM REDIO katika kipindi cha Inter Sports wasemaji wa timu hizo tobias Kifaru wa mtibwa sugar na Dismas Ten wa Mbeya City wamesema kuwa timu zipo katika maandalizi makali na  leo alhamisi  Mbeya city wanatarajiwa kuondoka Mbeya kuelekea Morogoro  kwa ajili ya mchezo huo Huku wenzao wakata miwa wa mtibwa sugar wakiwa bado jijini Daressalaam wakitarajiwa  kuondoka Daressalaam  hapo kesho siku ya ijumaa wakiivunja kambi kurejea morogoro.

Aidha timu hizo zimesema kuwa mchezo huo utakuwa ni kipmo kwa wachezaji wao na makocha wao.

No comments:

Post a Comment