Home Traders

Home Traders

Tembelea TK FM Redio 88.5 Tanga

Sunday, 14 August 2016

Serengeti boys yahidi ushindi dhidi ya frika kusni Marudiano

Kocha wa timu ya taifa ya vijana wenye umri wa miaka 17 ‘Serengeti boys’ Bakari Shime amesema kuwa  anamatumaini makubwa kwa timu yake kufuzu hatua inayofuata kwa kuwatoa Afrika Kusini ‘Amajimbos’.

Shime ameiambia mesema  kuwa  amewasoma vizuri wapinzani wao na kutambua udhaifu wao hivyo anauhakika wa kushinda mchezo huo wa marudiano ambao utapigwa Agosti 21 Uwanja wa Chamazi Complex.

Jumamosi iliyopita, ikicheza mbele ya Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi kadhalika Naibu Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Rosemary Chambe Jairo, timu ya soka ya vijana wenye umri wa chini ya miaka 17 maarufu kama Serengeti Boys imeonyesha kiwango cha juu na kufanikiwa kumaliza dakika 90 kwa kulazimisha sare ya 1-1 na wenyeji wao Amajimbos.

No comments:

Post a Comment