Home Traders

Home Traders

Tembelea TK FM Redio 88.5 Tanga

Sunday, 14 August 2016

TORABORA FC KUFANYA MKUTANO MKUU JUMAPILI

Timu ya Tora Bora Fc yenye maskani yake barabara ya kumi n atano 15 jijij hapa inatarajiwa kufanya m kutano wao mkuu wa wanachama na washabiki wa timu hiyo siku ya jumapili tarehe  21/8/2016.

Akizungumza na TK FM  REDIO katibu mkuu wa timu hiyo  KASETA BOTO KAMCHALA maarufu Boto Man amesema kuwa lengo kuu la mkutano huo ni  kuwatambulisha wanachama  uongozi wao na kuwakusanya wapenzi na wanachama kuwaelezea mustakabali wa timu pamoja na maandalizi ya timu yao.

Aidha Boto amesema kuwa mkutano huo utakuwa na ursa ya kutoa kadi kwa wanachama wapya watakaojiumga na timu hiyo ya TORA BORA FC.

No comments:

Post a Comment