Mjadala Mkubwa kwa wale wadau wanaotumi mtandao wa kijamii wa facebook wa Tanga Kunani kuwajua na kuwatambua wachezaji wa zamani na kama alivyoahidi ADMIN wa Tanga kunani kwa Mwalim Abdullatif Omar Famau sasa ametimiza kwa kuwaletea wadau picha husika ili wajimwage katika uwanja mpana wa Kijamii.
![]() |
Je unakikumbuka kikosi hiki! |
No comments:
Post a Comment