Home Traders

Home Traders

Tembelea TK FM Redio 88.5 Tanga

Thursday, 6 November 2014

Ni kweli Messi amevunja rekodi ya Raul!!!

Jibu rahisi sana kua bado rekodi kwa rekodi hazijavunjwa kwa kuipita rekodi ya Raul kwa kuingia nyavuni mara nyingi  katika ligi ya mabingwa barani ulaya.
Hadi kufikia jana baada ya kuingia nyavuni kwa lionel mess sasa anafikia idadi ya mabao 71 ambayo sawa sawia na Raul huyu tunaemzungumzia ambaye hadi sasa ameingia nyavuni mara 71 pia huku akifuatiwa na Christiabo Ronaldo ambaye hadi sasa ameingia nyavuni mara 70.
Lakini kwangu naamini ushindani mkubwa upo kwa Ronaldo na lionel Mess kwakuwa wapo fire kweli.
Raul alikuwa akishikilia rekodi ya kufunga mabao 71 na kuwa mfungaji mwenye mabao mengi zaidi kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Licha ya kwanza Cristiano Ronaldo alionekana ndiye atakuwa wa kwanza kumfikia Raul, lakini mabao mawili aliyofunga Messi  hapo jana wakati Barcelona ikiifunga  Ajax kwa mabao 2-0 kwenye mechi ya Ligi ya mabingwa sasa yamemfanya Mes kuifikia rekodi ya gwiji wa zamani wa madrid Raul..
 

No comments:

Post a Comment