Home Traders

Home Traders

Tembelea TK FM Redio 88.5 Tanga

Saturday, 8 November 2014

Simba wasubiri Kichapo-Masau Bwire

Majigambo tele akizungumza bila kukata tamaa wala kukasirika,msemaji wa Ruvu Masau Bwire amesema kuwa timu yake inakwenda kuwakabili Simba kwa kuchukua point tatu na sivinginevyo.
Akizungumzia maandalizi ya timu yake amesema kuwa timu yake ipo vizuri na ipo tayari kesho kwa mpambano huo kwani hadhani kwa simba kama kuna sehemu wanaweza kujitetea wasipokee kichapo toka kwao.

No comments:

Post a Comment