Home Traders

Home Traders

Tembelea TK FM Redio 88.5 Tanga

Friday, 17 July 2015

ASTON VILLA:YAMTOA BENTEKE KWENDA LIVERPOOL.Na RAMADHANI MAKERO




Klabu ya Liverpool nchini Uingereza imetoa kitita cha pauni milioni 32.5 kwa Villa kwa lengo la kumsajili mshambuliaji wa Ubelgiji Chritian Benteke 

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 alifunga mabao 12 katika mechi 12 katika msimu wa mwaka 2014-2015 na kuisaidia Villa katika ligi kuu ya Uingereza 

Liverpool inataka mchezaji huyo baada kupokea kititi hicho cha pauni milioni 49 kutokana na mauzo ya mchezaji Raheem Sterling aliyehamia Mancity 

Benteke bado amesaidia na kandarasi  ya miaka 2 katika klabu ya Villa
Mshambuliaji wa Uingereza Daniel Strurridge alichezea timu hiyo mara 18 msimu uliopita kutokana na msururu wa majeraha na atasalia nje hadi mwezi wa september akiuguza jeraha.

No comments:

Post a Comment