wa wilaya wa Chama cha wananchi CUF Mohamed Haniu hatimae amereja tena kuwania kinyanganyiro cha udiwani katika kata ya Tangasisi baada ya kukaa kando katika nafasi hiyo katika uchaguzi uliopita.
Akizungumza
na AMKA NA TK KIPINDI kipindi kinachorushwa na TK FM REDIO Haniu amesema kuwa kilichomfanya arejee tena kuwania udiwani
katika kata hiyo ni msukumo mkubwa wa wananchi katika kata hiyo kumuomba arejee
tene kutokana na kudumaa kwa maendelea katika kata hiyo.
Akizungumzia
kuhusu siasa za Tanga tangu kuanzishwa
kwa mfumo wa vyama vingi mkoa wa Tanga umekuwa CUF ina nguvu sana lakini
imekuwa haitoi hata nafasi ya ubunge,Mheshimiwa Haniu amesema kuwa anaamini
kuwa chama kinakwenda kwa awamu kwani walianza na nafasi nne wakati wanaanza na sasa wanapoelekea
ni kukamata Halmashauri ya Tanga.
No comments:
Post a Comment