Home Traders

Home Traders

Tembelea TK FM Redio 88.5 Tanga

Wednesday, 15 July 2015

NASA:SAYARI YA PLUTO TUMEFANIKIWA.Na Ramadhani Makero




Wanasyansi wa NASA kutoka Marekani wamesema kuwa majaribio yao ya kurusha chombo kwenda katika sayari ya Pluto yamekuwa na mafanikio mkubwa 

Chombo hicho kimefanikiwa kutuma taarifa katika kituo cha utafit huo cha Maryland zilizochukua takribani saa nne na nusu hadi kufika duniani na kupokelewa na Antenna NASA

Saa chache zijazo wanasyansi hawa wa NASA wameeleza kuwa wanatarajia kupata mfululizo wa taarifa zaidi na picha kutoka sayari ya Pluto ambazo zitatoa uhalisia wa undani wa sayari hiyo ya Pluto  

 

No comments:

Post a Comment