Home Traders

Home Traders

Tembelea TK FM Redio 88.5 Tanga

Tuesday, 2 August 2016

Alipotoka Mnyama Yanga wakutana jumapili mkutano wa dharura

MWENYEKITI wa Yanga SC, Yussuf Manji ameitisha Mkutano wa dharula wa wanachama utakaofanyika Jumapili wiki hii Bwalo la Maofisa wa Jeshi la Polisi, Oysterbay, Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Yanga Yusufu Manj

Manji anaitisha Mkutano huo siku mbili tu baada ya wapinzani, Simba SC kuamua kuingia katika mfumo wa kuuza hisa kufuatia Mkutano wao wa Jumapili hapo hapo, Bwalo la Maofisa wa Polisi.

Barua ya tangazo la Mkutano wa Yanga haijataja agenda – na Mkutano huo unakuja miezi miwili tu mno tangu kufanyika kwa uchaguzi Mkuu Juni 11, mwaka huu.

No comments:

Post a Comment