Home Traders

Home Traders

Tembelea TK FM Redio 88.5 Tanga

Monday, 1 August 2016

Ruvu Shuting yatoa dozi kwa Mbeya City

Timu ya Ruvu Shiuting ya pwani leo imecheza soka safi la kuvutia katika uwanja wa mabatini  mara baada ya kuwaalika timu ya mbeya city katika mchezo wao wa kirafiki kwa ajili ya kujiandaa na msimu wa ligi kuu bara.
Akizungumza na tk fm redio usiku huu  msemaji wa ruvu shoting masau bwire amesema kuwa timu hiyo imepata bao katika dakika ya  43 kwa bao limegfungwa na  yusufu nguya kwa njia ya penalt mara baada ya mbeya city  kumchezea vibaya mchezaji wa ruvu aliyekuwa akielekea langoni mwa mbeya city.

No comments:

Post a Comment